Mfumo wa Udahili wa Vyuo vya Afya na Sayansi Shirikishi kwa ngazi ya Certificate na Diploma umefunguliwa rasmi kwa mwaka wa masomo 2026/2027.
📌 Karibu kwenye Mfumo wa Udahili wa CAS
Tafadhali soma maelezo yote kwa umakini kabla ya kuanza kufanya maombi ya udahili kupitia mfumo wa Central Admission System (CAS).
Udahili unahusu:
Kozi za Certificate na Diploma katika vyuo vya Afya na Sayansi Shirikishi kwa mwaka wa masomo 2026/2027.
Kozi za Certificate na Diploma katika vyuo vya Afya na Sayansi Shirikishi kwa mwaka wa masomo 2026/2027.
📅 Mwisho wa Maombi ya Awamu ya Kwanza:
10/07/2026
10/07/2026
⚠️ Maelekezo Muhimu kwa Waombaji
- Hakikisha una barua pepe (Email) inayofanya kazi pamoja na namba ya simu inayopatikana muda wote.
- Chagua kozi unazozipenda kulingana na sifa ulizonazo.
- Unaweza kuchagua hadi taasisi au kozi 12 tofauti.
- Ada ya maombi ni Tsh 15,000 kwa taasisi moja na kiwango cha juu ni Tsh 45,000 kwa chaguo zote.
- Baada ya kujisajili utapatiwa namba ya malipo (Control Number).
- Malipo yanaweza kufanyika kupitia Mobile Money au Benki.
- Soma kwa makini vigezo vya kujiunga kwenye kozi kabla ya kufanya uchaguzi wako.
📘 Admission Guidebook
Waombaji wote wanashauriwa kusoma kitabu cha mwongozo wa udahili ili kufahamu sifa na masharti ya kila kozi kabla ya kutuma maombi.
📝 Jinsi ya Kujiunga na Mfumo
Ikiwa ni mara yako ya kwanza kutumia mfumo huu, bofya link hapa chini kuanza maombi:
👉 Register HereIkiwa tayari umesajiliwa, ingia kwenye akaunti yako kupitia link hapa chini:
🔐 Login HereImetolewa na SMART EDUCATION TANZANIA

Tafadhali Tuambie kupitia hapa