Chemistry Form Two Examination Series (Solved) – February 2026 | Nitekela Secondary School
Pakua Chemistry Form Two Examination Series (Solved) – February 2026 kutoka Nitekela Secondary School. Mtihani huu umeandaliwa kwa kuzingatia mtaala wa Tanzania na unafaa kwa mazoezi ya darasani, marudio binafsi na maandalizi ya mitihani ya kitaifa.
Faili hili lina maswali kamili ya mtihani pamoja na mwongozo wa majibu (marking scheme), unaosaidia wanafunzi na walimu katika kuboresha uelewa wa somo la Chemistry.
NITEKELA SECONDARY SCHOOL
FEBRUARY 2026
Pakua Mitihani (PDF Downloads)
Sample Maswali ya Mtihani
Swali la 9 (a)
Wanafunzi kumi wa Nitekela Secondary School walikuwa wakifanya jaribio la Chemistry maabara
ambapo madirisha yalikuwa yamefungwa, hali iliyosababisha hewa kuwa finyu na baadhi ya wanafunzi kuathirika.
Taja hatua mbili (2) ambazo ungechukua kuokoa hali hiyo. (Alama 4)
(b) Elimu ya Chemistry huwasaidia wanafunzi kupata ujuzi wa kazi mbalimbali. Taja taaluma sita (6) zinazoweza kufanywa na mwanafunzi wa Chemistry. (Alama 3)
(c) Taja sifa tatu (3) za maabara bora ya Chemistry. (Alama 3)
Jiunge na WhatsApp Channel ya Smart Education kwa updates za mitihani, notes na past papers.
👉 Jiunge na WhatsApp Channel
Endelea kufuatilia Smart Education Tanzania kwa mitihani ya Form One hadi Form Four, mock exams, notes na rasilimali za kujifunzia bure.

Tafadhali Tuambie kupitia hapa