Ajira Mpya Air Tanzania (ATCL) 2026
Air Tanzania Company Limited (ATCL) limetangaza ajira mpya kwa Watanzania wenye sifa stahiki. ATCL ni shirika la ndege la umma linalotoa huduma za usafiri wa anga ndani na nje ya nchi, likiwa na dhamira ya kutoa huduma salama, bora na za kuaminika.
Orodha ya Nafasi za Kazi
| S/N | Jina la Tangazo | Idadi | Mahali | Mwisho |
| 1 | Msaidizi Huduma za Upishi II | 5 | DSM | 12/01/2026 |
| 2 | Afisa Huduma za Upishi I | 4 | DSM | 12/01/2026 |
| 3 | Afisa Kumbukumbu II | 1 | DSM | 12/01/2026 |
| 4 | Afisa Rasilimali Watu II | 3 | DSM | 12/01/2026 |
| 5 | Afisa Utawala II | 1 | DSM | 12/01/2026 |
| 6 | Msaidizi Uhasibu II | 1 | DSM | 12/01/2026 |
| 7 | Afisa Uhasibu II | 2 | DSM | 12/01/2026 |
| 8 | Mhasibu II | 5 | DSM | 12/01/2026 |
| 9 | Dereva II | 4 | DSM | 12/01/2026 |
| 10 | Msaidizi Ununuzi II | 5 | DSM | 12/01/2026 |
Jinsi ya Kutuma Maombi
Maombi yote yawasilishwe kupitia mfumo wa ajira wa ATCL:
https://recruitment.atcl.co.tz
Mwisho wa maombi: 12 Januari, 2026.
Ni waombaji walioteuliwa pekee ndio watakaopata taarifa za usaili. Maombi yatakayowasilishwa nje ya mfumo hayatazingatiwa.
