Matokeo ya usaili wa kuandika somo la Biolojia uliofanyika tarehe 14 Desemba 2025 yametangazwa rasmi. Tangazo hili linawahusu wasailiwa wote walioshiriki kwenye usaili huo.
Tangazo Muhimu kwa Wasailiwa
Wasailiwa wote waliochaguliwa kuendelea na hatua inayofuata ya usaili wanatakiwa kuzingatia kwa makini muda na eneo la usaili kama ilivyoelekezwa katika taarifa rasmi.
Maelekezo Muhimu kwa Wasailiwa Waliochaguliwa
- Kuzingatia muda wa usaili kama ulivyopangwa
- Kuhudhuria usaili katika eneo lililoelekezwa
- Kubeba vyeti halisi (Original Certificates)
- Kubeba kitambulisho cha utambulisho (NIDA / Passport / Kura)
Tahadhari:
Msailiwa yeyote atakayeshindwa kuzingatia masharti haya hataruhusiwa kushiriki katika hatua inayofuata ya usaili.
Msailiwa yeyote atakayeshindwa kuzingatia masharti haya hataruhusiwa kushiriki katika hatua inayofuata ya usaili.
Hatua za Kuchukua Baada ya Matokeo
- Hakikisha umekagua jina lako kwenye orodha ya waliochaguliwa
- Jiandae mapema kwa hatua inayofuata ya usaili
- Endelea kufuatilia matangazo rasmi kwa taarifa zaidi
Taarifa na Maandalizi Zaidi
Kwa matokeo ya usaili, maswali ya mahojiano ya walimu, na maandalizi ya interview za kada ya ualimu, tembelea blog hii mara kwa mara.
Usisahau kushare taarifa hii kwa wasailiwa wengine
ili nao wapate taarifa kwa wakati.
