Usajili wa Waandishi wa Maudhui Mtandaoni Tanzania
Je, wewe ni blogger, mtayarishaji wa maudhui au unatoa elimu kupitia mitandao ya kijamii? Hii ni fursa rasmi ya kujisajili na kutambulika kisheria kama mwandishi wa maudhui mtandaoni nchini Tanzania.
Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa
fomu rasmi ya usajili wa waandishi wa maudhui mtandaoni.
Maelekezo Baada ya Kujaza Fomu
- Tuma kupitia barua pepe: maudhui@michezo.go.tz
- Ukubwa wa faili usizidi 5MB
- Taarifa zaidi: www.michezo.go.tz
Usajili huu ni muhimu kwa bloggers, YouTubers, wanahabari wa mtandaoni na watayarishaji wa maudhui ya elimu na habari.
#SmartEducation #BloggersTZ #MaudhuiMtandaoni #UsajiliWaWaandishi
Post a Comment
Tafadhali Tuambie kupitia hapa