Download Vitabu vya TIE Darasa la Tano (Standard Five) PDF – Mtaala Mpya Tanzania

Mr.Izow
0
TIE Books Darasa la Tano Tanzania

Vitabu vya TIE Darasa la Tano (Standard Five) – Mtaala Mpya Tanzania

Vitabu vya TIE Darasa la Tano vimeandaliwa kwa mujibu wa Mtaala Mpya wa Elimu Tanzania na vinatumika rasmi katika shule za msingi.

Vitabu hivi vinasaidia walimu na wanafunzi katika ufundishaji na ujifunzaji wa masomo mbalimbali kwa mujibu wa viwango vya elimu ya msingi nchini Tanzania.


Jinsi ya Kupata Vitabu vya TIE Darasa la Tano

  1. Tembelea tovuti rasmi ya TIE Online Library
  2. Chagua kiwango cha Primary Education
  3. Chagua Standard Five
  4. Chagua somo unalotaka kusoma

Orodha ya Vitabu vya Darasa la Tano

  • Geography
  • English Language
  • Kiswahili
  • Science
  • Sayansi
  • Arts and Sports

Vitabu hivi vinaweza kusomwa mtandaoni au kutumika darasani kwa mujibu wa mtaala mpya wa elimu.


Maelezo Muhimu

  • Vitabu hivi ni kwa matumizi ya elimu pekee
  • Vinatolewa na Tanzania Institute of Education (TIE)
  • Vinatumika katika shule zote za msingi Tanzania

Endelea kufuatilia Smart Education Tanzania kwa vitabu, mitihani, notes na taarifa muhimu za elimu.

Chapisha Maoni

0 Maoni

Tafadhali Tuambie kupitia hapa

Chapisha Maoni (0)
3/related/default