📢 TANGAZO LA KUITWA KAZINI UTUMISHI
Utumishi wa Umma umetangaza orodha ya waombaji walioitwa kazini katika taasisi mbalimbali za Serikali baada ya kukamilika kwa mchakato wa usaili.
Waombaji wote wanashauriwa kupakua orodha kamili ili kuthibitisha majina yao, vituo vya kazi pamoja na maelekezo muhimu ya kuripoti kazini.
📄 Pakua Orodha Kamili ya Walioitwa Kazini
Tafadhali subiri 5 sekunde, download inaanza...

Post a Comment
Tafadhali Tuambie kupitia hapa