TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA MJI BABATI 2026 | Nafasi 10 za Kazi

TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA MJI BABATI 2026 | Nafasi 10 za Kazi

TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA MJI BABATI – 2026

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Babati anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi kumi (10) za kazi baada ya kupokea kibali kutoka Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa

  • Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II – Nafasi 6
  • Dereva Daraja la II – Nafasi 4

Sifa Kuu kwa Ufupi

  • Mwandishi Mwendesha Ofisi II: Awe na Diploma ya Uhazili au NTA Level 6, ajue Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza na matumizi ya kompyuta
  • Dereva II: Awe na Kidato cha Nne, Leseni Daraja E au C, na mafunzo ya msingi ya Udereva kutoka chuo kinachotambuliwa

Masharti ya Jumla (Muhtasari)

  • Waombaji wawe Raia wa Tanzania wenye umri wa miaka 18–45
  • Vyeti vyote viwe vimehakikiwa na mamlaka husika
  • Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kuomba
  • Maombi yote yawasilishwe kupitia Ajira Portal
  • Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu hayatazingatiwa

Namna ya Kutuma Maombi

Maombi yote yawasilishwe kupitia mfumo wa Ajira Portal:
https://portal.ajira.go.tz

Tarehe ya Mwisho wa Kutuma Maombi: 16 Januari 2026

Imetolewa na:
Mkurugenzi wa Mji
Halmashauri ya Mji Babati

Post a Comment

Tafadhali Tuambie kupitia hapa

Previous Post Next Post

Featured Post

Smart Education Tanzania