Ratiba ya Masomo Darasa la Kwanza
Je, unatafuta ratiba ya masomo ya Darasa la Kwanza iliyoandaliwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa elimu Tanzania?
Ratiba hii imeandaliwa kwa lengo la kuwasaidia walimu, wakuu wa shule na wazazi kupanga masomo kwa ufanisi na kwa mpangilio unaoeleweka.
Sifa za Ratiba Hii
- Imezingatia mtaala ulioboreshwa
- Rahisi kuhariri (Word Document)
- Tayari kwa kuchapishwa (PDF)
- Inafaa kwa shule za Serikali na Binafsi
Masomo Yanayofundishwa
- Kusoma
- Kuhesabu
- Kuandika
- English
- Sanaa na Michezo
- Afya na Mazingira
Pakua Ratiba ya Masomo
Chagua aina ya faili unayohitaji hapa chini:
Muhimu Kumbuka
Ratiba hii unaweza kuibadilisha kulingana na mazingira ya shule yako. Inapendekezwa kutumika kama mwongozo rasmi wa upangaji wa masomo kwa Darasa la Kwanza.
Imeandaliwa na Smart Education Tanzania
Elimu Bora Kupitia Teknolojia

Post a Comment
Tafadhali Tuambie kupitia hapa