Stationery Job Opportunity in Arusha – Nafasi ya Kazi Mfanyakazi wa Stationery (Apply Before 15 March 2026)

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI – STATIONERY

Ofisi ya Stationery iliyopo Arusha (HOPE STATIONARY) inatangaza nafasi ya kazi kwa mtu mwenye sifa stahiki kujaza nafasi ifuatayo:

Nafasi ya Kazi

  • Cheo: Mfanyakazi wa Stationery
  • Mahali pa Kazi: Arusha

Sifa za Mwombaji

  • Awe na umri kati ya miaka 22 – 35
  • Awe mchapakazi, mwaminifu na mwenye maadili mema
  • Awe na ujuzi wa kompyuta, hususan matumizi ya Microsoft Word na Microsoft Excel
  • Awe Mkristo mwenye maadili mema

Sifa za Ziada

  • Mwenye cheti cha mafunzo husika atapewa kipaumbele
  • Jinsia ya kike atapewa kipaumbele
  • Msabato atapewa kipaumbele

Mshahara

Makubaliano

Chakula na Makazi

Vitagharamiwa kwa mwezi mmoja wa mwanzo

Jinsi ya Kuomba

Kwa maelezo zaidi au kuwasilisha maombi, tafadhali wasiliana kupitia namba ifuatayo:

Simu: 0629 859 421

Deadline ya Maombi: 15/03/2026

Endelea kutembelea Smart Education kwa taarifa zaidi za ajira, fursa za masomo na matangazo muhimu.

Post a Comment

Tafadhali Tuambie kupitia hapa

Previous Post Next Post

Featured Post

Smart Education Tanzania