Waliochaguliwa VETA Awamu ya Pili 2026
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza rasmi orodha ya waombaji waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi kwa mwaka 2026 katika awamu ya pili (Second Selection).
Waombaji waliochaguliwa wanatakiwa kufuata maelekezo ya kujiunga (Joining Instructions) yaliyotolewa na vyuo husika ili kukamilisha usajili wao kwa wakati.
Jinsi ya Kuangalia Majina
- Tembelea tovuti rasmi ya VETA: www.veta.go.tz
- Au tembelea chuo cha VETA kilichokuchagua
📅 Tarehe ya Mwisho ya Kuripoti: 24 Februari 2026
📚 Masomo Yataanza: 25 Februari 2026
Waombaji wote waliochaguliwa wanashauriwa kuripoti katika vyuo walivyopangiwa ndani ya muda uliopangwa ili kuepuka kupoteza nafasi zao.
Pata taarifa zaidi za elimu:
Jiunge na WhatsApp Channel ya Smart Education kwa updates za selections, ajira na matokeo.
Jiunge hapa
Jiunge na WhatsApp Channel ya Smart Education kwa updates za selections, ajira na matokeo.
Jiunge hapa

Tafadhali Tuambie kupitia hapa